JB afanya kazi na rachie watengana?


JB.jpgSIMULIZI inazidi kunoga. JB anaendelea kueleza kila kitu alichopitia maishani mwake, sasa yuko katika kipengele cha safari yake ya sanaa. Tangu wakati wa maigizo hadi sasa kwenye filamu, ambako anaendelea kutengeneza pesa kupitia kazi hiyo ya uigizaji.
Wiki iliyopita, alieleza jinsi alivyoanzisha kampuni ya kuzalisha filamu ya Jerusalem. Akieleza pia ugumu aliokutana nao. Je, nini kilifuata?
TWENDE PAMOJA…

Katuni 3 Za Kisiasa Leo, Ziangalie zingine Kwa Kubonyeza Hapa




Jokate amtambulisha Ali Kiba apigwa chini kwao


jokate ali kiba
Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ akiwa na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’.
Musa mateja
Imevuja! Gumzo la ndoa ya staa mwenye jina kubwa Bongo, Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ na Mbongo-Fleva Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ inadaiwa kupigwa zengwe kama ilivyowahi kutokea kwa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kufuatia madai ya mwanadada huyo kumtambulisha jamaa huyo kwao kisha kukataliwa.
MINONG’ONO

Lulu Amchokonoa Zari...Ajibebisha Kwa Diamond Platnumz

UCHOKOZI! Staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anatengeneza kichwa cha habari kwa mara nyingine baada ya kudaiwa ‘kujibebisha’ kwa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, kitendo kilichotafsiriwa kuwa ni kumchokonoa mwandani wa jamaa huyo, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’.

Mke kumgeuza mumewe zezeta kishirikina


Siku zote najua kila mtu anapenda kuwa na mtu ampendaye. Najua fika hata wewe unayesoma hapa unatamani mpenzi wako akupende kama unavyompenda wewe ikiwezekana yeye azidishe mapenzi.
Newer Posts Older Posts

© Copyright Chiriku Mzee

Designed By Chiriku Mzee

Blogger Templates

Back To Top