Njia ya kisaikolojia ambayo mwanamke anaweza kutumia kumpata mwanaume mwenye kumfaa bila kufanya naye mapenzi...



Glamorous HairstyleWengi wamejikuta wakiitwa wahuni kutokana na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na makundi ya wanaume au wanawake. Hata hivyo wachunguzi wa masuala ya mapenzi wanasema idadi kubwa ya wapenzi si kigezo sahihi cha kupima tabia ya mtu na kumhusisha na uhuni.

Wolper amchana chuchu

SIASA katika ubora wake! Nyota wa filamu nchini, Jacqueline Walper Massawe ‘Wolper’ amemchana staa mwenzake, Chuchu Hans kufuatia kutofautiana kiitikadi kisiasa kati ya chama tawala (CCM) na Ukawa.

Nyota wa filamu nchini, Jacqueline Walper Massawe ‘Wolper’.
Awali, Chuchu Hans alitangaza kuhamia Ukawa (Umoja wa Katiba ya Wananchi) na kushiriki kikamilifu kwenye uzinduzi wa kampeni zao uliofanyika katika Viwanja vya Jangwani, Dar wiki iliyopita.

Ona aibu Mwanaume kutunzwa na nyumba ndogo

Najua nikisema sana nitaonekana kuwa nina mdomo wakati kila kiumbe hapa duniani kina mdomo, lakini kwa vile kuwapasha ndiyo ‘hobi’ yangu acha niwachane ‘live’ simuogopi mtu hasa wewe mwenye hila ya kwapa kunuka bila kidonda.

DR. SLAA AAMUA KUACHANA NA SIASA RASMI LEO


1.Napenda kumshukuru mwenyezi mungu kwa kutujali uzima.
2. Nimeamua kujitokeza leo hii ili kumesha upotoshaji na kuuweka wazi ukweli.
3.Sina tabia ya kuyumbishwa na ninasimamia ninachokiamini.

JINSI YA KUMKUNA IPASAVYO MWANAMKE NA KUMPA UTAMU NA RAHA AITAKAYO




Wanaume wengi hupenda sana “ngono ya mdomo” na wanawake wengi pia hupenda ngono ya namna hiyo kwani wana enjoy sana, lakini ukweli ni kuwa
hutakiwi kuchukua muda mrefu sana ili mwanamke abaki na hamu ya kufanya mapenzi.

NAMNA YA KUMBUSU MPENZI WAKO ( DENDA )

namna ya kula denda na kutomba
Ili mfurahie busu mnatakiwa kupeana (umbusu-akubusu) .

Jambo muhimu la kuzingatia ni kuto achama au kukusanya midomo yako kama unataka kubusu kwa sauti na badala yake busu kimahaba…..

Fanya Yafuatayo Kama Umeona DALILI za PENZI Lenu Kwenda Mrama

http://chirikumzee.blogspot.com/2015/08/fanya-yafuatayo-kama-umeona-dalili-za.html
Kubali kuwajibika
Japokuwa wengi huwa wanashindwa kwenye kipengele hiki, jibebeshe mzigo wa lawama wewe mwenyewe hata kama si kweli kwamba wewe ndiyo mwenye makosa.

Jiambie mwenyewe kwamba wewe ndiyo umesababisha mfikie hapo mlipofika kwa sababu kama alikukosea, ungeweza kumsamehe kuanzia siku ya kwanza na wala msingefikia hatua hiyo.Ukishakubali kuwajibika, utakuwa kwenye hatua nzuri ya kuzidi kumkaribia, hata ile chuki uliyokuwa nayo, utashangaa inayeyuka kama barafu iyeyukavyo juani na mapenzi yanaanza kuchanua upya moyoni mwako.
Older Posts

© Copyright Chiriku Mzee

Designed By Chiriku Mzee

Blogger Templates

Back To Top